KABURI LA MJUMBE WA MWENYEZI MUNGU KARNE HIYO YA 13 BINT SHARRIFA
baada ya kufikishwa ujumbe huu hapa dunia arifaliki dunia akiwa na umri wa miaka 13 hilo ndo kaburi lake lililojenga kaene hiy ya 13 huyu binti alikuwa akiwasaidia watu matatizo mbalimbali
pia walikufa na watoto watatu kwa pamoja hivyo wakamua kuyajengea
makabuli haya hapo hapo walikuwa wakiamini ya kwamba hawa ni malaika waliokuwa
wanamsapoti huyu bint kati ka kazi zake hivyo ukiwa na shida ya mambo mbalimbali unaingia katika
hicho kijumba walicho mjengea nakufanya maombi ukiomba kwa imani yako utafanikiwa
kama ukibahatika kwenda embu angalia ngani ya hicho kijumba utakacho kiona ni siri yako

Comments
Post a Comment