SOKA LA TANZANIA LEO DEC 4 2016
kutokana nakutokea kifo cha mchezaji timu ya mbao fc chini ya umri wamiaka 20
ISMAIL KHALFAN
aliyekuwa chini ya kikosi cha mbao FC kilichocheza chini ya mwadau FC
ismair khalfan alipoteza maisha katika michuano chini ya vijana chini ya umri wa miaka 20
katika mchezo wa mwisho raundi ya saba kundi A kituo cha kaitaba bukoba ismail khalfan alikuwa amevaa jezi nambari 4 katika michuano hiyo
Comments
Post a Comment