Takriban 100 wauawa baada ya paa la kanisa kuporomoka Nigeria

Ajali hiyo imetokea wakati mamia ya waumini walipokuwa wakihudhuria sherehe ya kuapishwa kwa muasisi wa kanisa
Ujenzi wa majengo ya Kanisa hilo ulikuwa bado ukiendelea, huku serikali ikitangaza kuwa itaanzisha uchunguzi kubaini ikiwa utaratibu wa ujenzi mwema ulikiukwa au la.
Wakati wa mkasa huo, gavana wa jimbo la Akwa Ibom, Udom Emmanuel, alihudhuria ibada hiyo, kwa pamoja na wanasiasa wa eneo hilo, ambao waliepuka ajali hiyo.

Comments

  1. CASINO - WMS - Mapyro
    CASINO is an excellent place to play, located 속초 출장마사지 in 익산 출장샵 MS. If you want to enjoy 청주 출장안마 the games and excitement of a real casino resort in one of the 태백 출장샵 nicest 아산 출장마사지

    ReplyDelete

Post a Comment