Ni siku moja baada ya kiwanda cha DANGOTE kutangazwa kuwa kimesitisa
uzalishaji ikiwemo uchumi, Wanasiasa walitoa maneno mengi yakiendelea kwenye mi
tandao yakijamii
Waziri wa viwanda biashara na uwekezaji CHARLES MWIJANGE na ameeleza sababu ya kiwanja hicho kufungwa na kuhusu maneno yalio endelea kwenye viwanda vya saruji wamefunga
viwanda kugomea makaa ya mawe ya hapa nchin kuwa hayana ubora kama wanayo
yapata nje ya nchi
>>>>>mkurugenzi mtendaji wa kiwanda amesema ni tatizo la kiufundi na rekirekebiswa
katika kipindi kifupi kisicho zidi wiki mbili
Angalia hiyo video na sikiliza kwa umakini
Comments
Post a Comment